Alhamisi, 18 Julai 2013

Monday, July 15, 2013

TUNAOMBA RADHI KWA HIZI PICHA.HUU NI UNYAMA WA KUPITILIZA.MTOTO ABAKWA HADI KUFA NA KUWEKEWA MIWA SEHEMU ZA SIRI.

Vanusia Silva Pereila mdada mwenye miaka 9 mkazi wa kijiji kimoja nchini brazil,mapema wiki hii amebakwa karibu na shamba la miwa na watu wanaoaminika kuwa ni watumiaji wa madawa ya kulevya.



 
MAELEZO ZAIDI KUTOKA CHANZO CHA HABARI HII HAYA HAPA.
The horrific crime happened in Arataca, state of Bahia, Brazil. Vanusia Silva Pereira was taken to a vacant lot, punched in the face, raped and then had a sugar cane forced up her snatch.

The victim’s father, identified as Mr. Wilson, an agricultural laborer told police that Vanusia chose bad company to hang out with lately and that was her demise. Police do not suspect that her murder was a crime of passion, however coroner who examined the body said the woman had been subjected to exceptional violence before death which brought the possibility of this being the crime of passion back into question.
  
Posted by amar jamal

Alhamisi, 13 Juni 2013

KILICHOMUUA KANUMBA NI HIKI




Madaktari wa Hospitali ya Taifa Muhimbili wamethibitisha kuwa, msanii nyota wa filamu
nchini, Steven Kanumba, amefariki kwa tatizo la mtikisiko wa ubongo unaojulikana
kitaalamu kama 'brain concussion'.'

Brain concussion' ni hali ya ubongo kushindwa kufanyakazi kwa muda kutokana na
mtu kuumizwa kichwa au kushikwa na kiwewe kikali.

Kwa mujibu wa magazeti ya Mwananchi na Mwanaspoti toleo la leo, taarifa za ndani zilizopatikana juzi kutoka kwa jopo la madaktari bingwa watano walioufanyia uchunguzi mwili wa Kanumba,zinaeleza kuwa tatizo hilo linaweza kumfanya mtu apoteze maisha mara moja au baada ya siku kadhaa.

Mmoja wa madaktari hao wa Hospitali ya Taifa Muhimbili, ambaye hakutaka kutajwa
gazetini kwa kuwa si msemaji, alisema waligundua tatizo hilo baada ya kumfanyia
uchunguzi huo kwa zaidi ya saa mbili.

"Tulianza kuufanyia uchunguzi mwili wa marehemu kuanzia muda wa saa nne asubuhi
hadi saa saba kasoro za mchana na tukagundua kuwa, marehemu alifariki kutokana
na mtikisiko wa ubongo, kwa kitaalamu brain concussion,"alisema.

Daktari mwingine aliyeshiriki katika uchunguzi huo alizungumza kwa ufupi kuwa,
waligundua kwamba ubongo ulikuwa umevimba na kushuka mpaka karibu na uti wa
mgongo na hivyo kuathiri mfumo wa upumuaji na ndiyo maana msanii huyo alikufa
pale pale.

Daktari wa awali alisema Kanumba alipata mtikisiko wa ubongo, ambao husababisha
kufeli kwa mfumo wa upumuaji (cardio-respiratory failure).

"Kilichomuua hasa ni mtikisiko wa ubongo, ambao endapo unatokea katika sehemu ya
nyuma ya ubongo (cerebrum), huua kwa haraka,"alisema daktari huyo.

Aliongeza kuwa, mtikisiko wa ubongo wa nyuma, husababisha matatizo ya mfumo wa upumuaji na hilo limeonekana katika mwili wa Kanumba.

Alisema:" Baada ya ubongo wake kutikiswa kwa nguvu, mfumo wa upumuaji ulifeli na ndio maana tumekuta kucha za Kanumba zikiwa na rangi ya bluu, huku mapafu yake yakiwa yamevilia damu na kubadilika kuwa kama maini, hizo ndizo dalili za kufeli kwa mfumo wa upumuaji."

Aliongeza:" Mtu aliyepata mtikisiko wa ubongo huwezo kutokwa na mapovu mdomoni na hukoropma kabla ya kukata roho na ndivyo ilivyokuwa kwa Kanumba kabla hajafariki."

Daktari huyo alisema, sehemu ya maono na majimaji ya machoni ya marehemu, vimepelekwa kwa mkemia mkuu ili kubaini endapo kuna sumu au kitu kingine katika mwili huo.

Ijumaa, 22 Machi 2013

HAIFAHAMIKI KWA

MARTIN KADINDA KUWACHAMBUA DADA WA WEMA SEPETU

 
Na: Mwandishi wetu
Huenda umekuwa ukimsoma tu msanii maarufu wa filamu Bongo, Wema Isack Sepetu bila kujua kuwa ana dada zake ambao wamesimama kimaisha licha ya kwamba si watu wa kuonekana kwenye vyombo vya habari mara kwa mara.
Juzikati, mwanamitindo maarufu wa kiume Bongo, Martin Kadinda kupitia blog yake ya mvutokwanza amewachambua dada watatu wa Wema huku akianika tabia zao kwa jinsi yeye anavyowafahamu kama anavyowaelezea hapa chini;
TUNU: Napenda kumuita The Perfectionalist. Huyu ni mama wa mtoto mmoja, anaishi nchini Marekani. Ni mpole na anapenda kusikiliza watu. Anapenda kuchukua muda kabla ya kutoa maamuzi ya jambo analopenda. Ni mtafutaji na amekuwa akiniita baby.
SUNNA: Huyu ana visirani kama mdogo wake Wema. Anaishi Marekani. Nampenda sana, ni mcheshi na napenda kumuita majimaji kwani anapenda sana kula…yeye ni bata ndefu kwa kwenda mbele.
Ni mpenzi wa fasheni na vitu asilia.
NURU: Ni mama wa watoto watatu, ameolewa na anaishi Dar. Napenda kumuita kubwa la maadui kwani hakuna kinachoshindikana kwake.
Tatizo lolote litakalotokea katika familia yake akionekana tu kila kitu kinakwenda sawa.
Ana ubavu wa kukontroo mambo

Ijumaa, 15 Machi 2013

HAYA KWELI NI YA AIBU

UWOYA, NDIKU USO KWA USO RWANDA

Na Mwandishi Wetu
ZIARA ya mastaa wanne wa Bongo Movies nchini Rwanda hivi karibuni, imewakutanisha uso kwa uso wanandoa waliotengana, Irene Pancaras Uwoya na msakata kabumbu, Hamad Ndikumana ‘Kataut’ Ijumaa limebaini.
Irene Pancaras Uwoya akiwa na mumewe Hamad Ndikumana ‘Kataut’ enzi za penzi lao.
Uwoya na Kataut walikutana jijini Kigali baada ya mastaa hao kupata mwaliko wa kiserikali kuhudhuria tuzo za filamu zilizoandaliwa kwa ajili ya wasanii wa Kinyarwanda (Rwanda Movies  Awards).
Chanzo chetu kimesema kwamba, wawili hao ambao walifunga ndoa mwaka 2009 jijini Dar na kubahatika kupata mtoto mmoja aitwaye Dagrei Krish, waliongea kwa muda mrefu na kutoonesha tofauti yoyote.
“Hawakuonesha tofauti yoyote, waliongea vizuri, walikula pamoja na kulala hoteli moja,” kimesema chanzo hicho.
Ndoa ya Uwoya na Kataut ilivunjika  mwanzoni mwa mwaka jana kisha ‘shemeji’ yetu huyo kuondoka Dar kurudi Rwanda kuendesha maisha yake ya kusakata kabumbu katika Klabu ya Rayon.
Hata hivyo, Ndikumana amekuwa akikanusha kuvunjika kwa ndoa hiyo kwa kusema kwamba hakuna kati yake na Uwoya aliyekiri hadharani kwamba ndoa yao imevunjika.
Mastaa wengine walioambatana na Uwoya nchini Rwanda ni pamoja na Vincent Kigosi ‘Ray’, Jacob Steven ‘JB’ na Amri Athuman ‘King Majuto’ ambao wote pamoja na Uwoya walirudi nchini Jumanne iliyopita.

KUNA KUSOMA KWELI..?

DENTI WA CHUO AUMBUKA BBM

Stori: Hamida Hassan na Gladness Mallya
DENTI wa chuo kimoja kilichopo jijini Mwanza (jina tunalihifadhi) aliyefahamika kwa jina la Fatma Omar amejikuta akiumbuka kwenye mtandao wa BBM baada ya picha zake chafu alizokuwa ‘akimfoadia’ mpenzi wake kuvuja.
Fatma Omar.
Picha hizo zikiwemo zinazomuonesha mwanadada huyo mwenye asili ya Kiarabu akiwa amevaa nguo ya ndani tu zinapatikana mtandaoni na inadaiwa kuwa mwenyewe amejikuta akiugua ghafla baada ya kubaini ameaibika.
Baada ya Ijumaa kuzinasa picha hizo na kubahatika kupata namba zake, mwandishi wetu alimpigia simu Fatma ili kujua kilicho nyuma ya pazia ya picha hizo ambapo alifunguka:
“Jamani hizo picha anayezisambaza ni mwanaume aliyekuwa mpenzi wangu anayeishi Arusha, anaitwa Amin Lema. Siku moja usiku aliniomba nimtumie nikafanya hivyo nikiamini hawezi kunifanyia mchezo mbaya.
“Juzi akaniomba nimtumie pesa kama ambavyo ilikuwa desturi yake, nikamnyima na ndipo uhusiano wetu ukavunjika. Baadaye nikasikia picha zangu za utupu zimevuja, kwa kweli sikuwa na jinsi na nilijua zitafika kwenu ‘so’ fanyeni mnavyoweza,” alisema Fatma.
Jitihada za kumpata Amini hazikuweza kuzaa matunda mpaka tunakwenda mtamboni.

HUKU NAPO SIPO

WAZIRI ACHARUKIA SKENDO YA JACK CHUZ KUJIUZA

Stori: Gladness Mallya na  Hamida Hassan
BAADA ya hivi karibuni msanii wa filamu, Jacqueline Pentzel ‘Jack Chuz’ kunaswa akipelekwa kuuzwa kwa mwanaume, Naibu Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Amos Makalla anadaiwa kuicharukia skendo hiyo ambapo juzikati alimvaa Rais wa Shirikisho la Filamu (TAFF), Simon Mwakifwamba na kumuuliza juu ya tukio hilo la aibu.
Jacqueline Pentzel ‘Jack Chuz’.
Chanzo cha habari kutoka ndani ya shirikisho hilo kililitonya Ijumaa kuwa, Mhe. Makalla alimvaa Mwakifwamba kwenye mkutano na wasanii uliofanyika ndani ya Hoteli ya Kibadamu, Ubungo jijini Dar.
“Mhe. Makalla ndiye aliyekuwa mgeni rasmi, akiwa pale alimuuliza Mwakifwamba kuhusu hatua walizochukua kwa Jack Chuzi baada ya kuandikwa habari kuwa alinaswa akienda kuuzwa.
Naibu Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Amos Makalla.
“Mwakifwamba alijitetea kuwa, wanalishugulikia na Mwenyekiti wa Chama cha Waigizaji Tanzania, Michael Sangu ‘Mike’ akasisitiza kuwa, wako katika mchakato wa kulitolea uamuzi tukio hilo lililofanywa na Jack ,” kilidai chanzo hicho.
Baada ya kuzinyaka habari hizi paparazi wetu alimtafuta Mwakifwamba lakini hakuweza kupatikana mara moja ila Mike alipoulizwa juu taarifa za Mhe. Makalla kucharukia ishu ya Jack alisema:
Rais wa Shirikisho la Filamu (TAFF), Simon Mwakifwamba.
“Ni kweli waziri aliuliza kuhusu hatua tulizozichukua kuhusu suala la Jack kujiuza ambapo nilimjibu kuwa tuko kwenye mchakato wa kulitolea uamuzi na kwa sasa tumeunda kamati maalum, ikimaliza uchunguzi wake ndiyo tutatoa jibu kuwa tumemchukulia hatua gani.”

KWENYE

‘BIRTHDAY’ YA MTOTO WA SAJUKI,MAJONZI MATUPU

Na Imelda Mtema
‘BIRTHDAY’ ya mtoto wa aliyekuwa msanii wa filamu Bongo, marehemu Juma Kilowoko ‘Sajuki’ na mjane wake, Wastara Juma, Farheen ilikuwa ni simanzi tupu, Ijumaa lina fulu data.
Katika pati hiyo iliyofanyika nyumbani anapoishi Wastara, Tabata-Bima, Dar hivi karibuni wakati mtoto huyo akitimiza mwaka mmoja, pamoja na kukamilika katika kila idara lakini kukosekana kwa baba wa mtoto (Sajuki), ndiko kulikoibua huzuni.
Habari zilieleza kuwa Sajuki alikuwa mtu muhimu kwenye pati hiyo kwani siku zote alikuwa akiisubiri siku hiyo ya kuzaliwa mtoto wake kipenzi kabla ya kukutwa na umauti Januari 2, mwaka huu.
Huku kila kona nyumbani hapo kukitawaliwa na huzuni kwa wahudhuriaji, mtoto huyo aliwaondoa watu kwenye simanzi baada ya kuonesha uchangamfu wa ajabu hadi kusababisha mama yake na wageni wengine waalikwa kuchangamka vilivyo kama vile alikuwa anatimiza zaidi ya umri wa mwaka mmoja.
Katika hali ya kushangaza, pamoja na kutulizwa lakini Farheen aliendelea kung’ang’ania kufanya kila kitu mwenyewe hasa lilipofika suala la ukataji wa keki.
Katika mahojiano na Ijumaa juu ya tukio hilo, Wastara alisema kuwa alifarijika mno kumwona mwanaye akiwa na furaha tena mchangamfu kupita kiasi kwani alimfanya asahau machungu.