Jumamosi, 9 Machi 2013

TUMSAIDIENI HUYU MTOTO KAMA KWELI IMETUGUSA

           Mtoto mwenye umri wa miaka 8 nchini,anakabiliwa na uvimbe ambao ulimuanza tangu akiwa mdogo mwenye umri wa miaka mitatu..

Mzazi mlezi wa mtoto huyu akiongea na waandishi wa habari nchini,anaomba msaada wa hali na mali ili kuweza kufanikisha matibabu ya kina ya mtoto huyu nchini india..

Kama umeguswa na Hali mbaya inayomkabili mtoto huyu,Wasilisha mchango wako kupitia akaunti # 0715100784 Tigo Pesa..

Mchango wako ndiyo utakaofanikisha mtoto huyu kufanikisha matibabu yake nchini India..(Habari Picha na Amar Jamal)

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni