BABA KANUMBA HANA MPANGO WA KULIONA KABURI LA MWANAYE!
Na Mwandishi Wetu
IMEBAINIKA kuwa baba wa marehemu Steven Kanumba, Charles Kusekwa hana mpango wa kwenda kuliona kaburi la mwanaye lililopo Kinondoni, jijini Dar.
Taarifa zisizo na shaka, mzazi huyo amewatia wasiwasi watu wengi
kwamba huenda si baba mzazi kwani tangu mwanaye afariki dunia Aprili 7,
mwaka jana hajawahi kufika kulitazama kaburi achilia mbali kuhudhuria
mazishi yake.
Alipopigiwa simu na kuulizwa juu ya taarifa hizo za kutofika kwenye kaburi la mwanaye, mzazi huyo alisema asiulizwe ishu hiyo.
“Sitaki kuzungumzia ishu hiyo. Una swali lingine?” aliuliza na kukata simu.
IMEBAINIKA kuwa baba wa marehemu Steven Kanumba, Charles Kusekwa hana mpango wa kwenda kuliona kaburi la mwanaye lililopo Kinondoni, jijini Dar.
Alipopigiwa simu na kuulizwa juu ya taarifa hizo za kutofika kwenye kaburi la mwanaye, mzazi huyo alisema asiulizwe ishu hiyo.
“Sitaki kuzungumzia ishu hiyo. Una swali lingine?” aliuliza na kukata simu.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni