BABA KANUMBA HANA MPANGO WA KULIONA KABURI LA MWANAYE!

IMEBAINIKA kuwa baba wa marehemu Steven Kanumba, Charles Kusekwa hana mpango wa kwenda kuliona kaburi la mwanaye lililopo Kinondoni, jijini Dar.
Alipopigiwa simu na kuulizwa juu ya taarifa hizo za kutofika kwenye kaburi la mwanaye, mzazi huyo alisema asiulizwe ishu hiyo.
“Sitaki kuzungumzia ishu hiyo. Una swali lingine?” aliuliza na kukata simu.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni